Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Monday 6 July 2015

Kamata fursa ya biashara ya mtandao kwa mtaji wa 76500/=



Biashara ya mtandao( Network Marketing) nchini Tanzania imekuwepo kwa muda mrefu hivi sasa na mpaka sasa kuna makampuni zaidi ya 20 mpaka kufikia sasa,nyingi ya kampuni hizi zina bidhaa ambazo wengi wetu tumekuwa tukitumia kama virutubisho(Food supplements).

Lakini kampuni ya kipekee nchini Tanzania ambayo iko katika mfumo wa biashara wa mtandao kwa kutumia bidhaa isiyoshikika ni Rifaro Africa (www.rifaroafrica.com).


Bidhaa yake kubwa ni muda wa maongezi/hewani(airtime),hii ina maanisha kwa kila mtumiaji wa simu anayejiunga na kampuni hii ana nafasi ya kuwashirikisha watu wengine wajiunge nayo na kisha utapata nafasi ya kupata muda wa maongezi wenye thamani ya shilingi 10,000 kwa mara moja ambao utautumia kwa mwezi mzima(mfano leo utatumia 500,kesho 1000 mpaka siku 30 yaani  mwezi mzima na baada ya hapo utatununua muda wa maongezi kwa kutumia salio lako la kwenye simu yako ambalo utakuwa ukilipwa na kampuni kwa wiki na kwa mwezi baada ya kuwashirikisha watu wengine ambao watajiunga kwenye mfumo huu wa kampuni na kupewa namba ya uanachama(ID).


Kampuni ya Rifaro Africa imesajiliwa rasmi hapa Tanzania na kupewa hati zote kama kampuni binafsi inayoendesha biashara hii,pia ipo kwenye orodha ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) kwa kupewa namba maalumu ambayo ni 15420 ambayo baada ya kujiunga utakuwa na uwezo wa kujua timu yako imefikia idadi ya watu wangapi na pia kujua kipato chako kwa kutumia namba hiyo.


Mtaji wa kujiunga na biashara hii ni 76,500/= unaweza kuona ni nyingi lakini manufaa yake ni makubwa kulinganisha na faida ambayo utaenda kuipata kupitia mfumo wa biashara ya mtandao.

Ukilipia 76,500/= utapewa Vocha(airtime) yenye thamani ya sh.10,000/=,Kitabu cha biashara(Business manual),Laini ya simu na namba maalum ya uanachama(ID) na akaunti ya biashara.


Ukishajiunga, utapata TZS 10,000 kwa kila mtu utakayemshirikisha moja kwa moja kwenye kizazi chako cha kwanza, 

Utapata TZS 4,000 kwa kila mtu atakayeshirikishwa kwenye kizazi chako cha pili cha mtandao, 
Utapata TZS 2,000 kwa kila mtu atakayeshirikishwa kwenye kizazi chako cha tatu hadi cha tano,
Utapata TZS 1,000 kwa kila mtu atakayeshirikishwa kwenye kizazi chako cha sita hadi cha tisa.
Utapata tena TZS 2,000 kwa kizazi chako cha kumi.

Mapato haya yanalipwa kwa wiki kila siku ya Jumatano.


Tuangalie matarajio ya malipo kwa kualika watu watano tu (unaruhusiwa kualika watu wengi uwezavyo) ndani ya mwezi na hao watu watano wakaalika watu watano tu ndani ya mwezi huo huo kwa vizazi vitano tu kwenda chini. Mapato yako ya mwezi huo yatakuwa kama ifuatavyo kwenye mwezi husika:


TIMU YA WANACHAMA
MALIPO KWA KILA MTU KWA WIKI
JUMLA YA PESA
Kizazi cha 1 -Watu 5
         10,000 
               50,000 
Kizazi cha 2 -Watu 5X5=25
           4,000
             100,000
Kizazi cha 3 -Watu 25XX5=125
           2,000
             250,000
Kizazi cha 4 -Watu 125X5= 625
           2,000
         1,250,000
Kizazi cha 5 -Watu 625X5=3125
           2,000
         6,250,000
Jumla kuu kwa mwezi
         7,900,000


Mapato ya pili ni ya mwezi ambapo utalipwa 1% ya matumizi yako mwenyewe ya muda wa maongezi pamoja na matumizi  ya watu wa kizazi chako cha kumi.

Utalipwa 0.5% kwa matumizi ya kizazi cha pili hadi cha tisa.
Utapata mapato haya ya mwezi iwapo utatumia mda wa maongezi usiopungua TZS 10,000 katika mwezi husika, kitu ambacho wengi wetu tunakilipia na zaidi kwenye mawasiliano yetu ya mwezi na bila kupata malipo yoyote.

Tuchukulie una watu 10 kwenye kizazi chako cha kwanza ambao wamelipia kiwango cha chini cha TZS 10,000 cha manunuzi ya airtime kwa mwezi ambao nao wana watu 10 chini yao waliolipia hiki kiwango cha TZS 10,000 kwa vizazi vitano tu kwenda chini (Utalipwa mpaka vizazi kumi kwenda chini). Malipo yako ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo:

TIMU
MALIPO YA 0.5%
MAPATO YAKE
Kizazi cha 1= Watu 10
         100,000 
                 500 
Kizazi cha 2 (10X10)=Watu100
         1,000,000
                 5,000
Kizazi cha 3 (100X10)=Watu1000
         10,000,000
               50,000
Kizazi cha 4 (1000X10)=Watu10000
         100,000,000
             500,000
Kizazi cha 5 (10000X10)=Watu100000
         1,000,000,000
         5,000,000
Jumla kuu kwa mwezi
         5,556,000


Mbali na malipo haya kuna faida nyingine za malipo ambazo kampuni itakupatia endapo utakuwa una uwezo wa kufungua vituo vya Rifaro Africa kwa sehemu ambazo hakuna ofisi mfano mikoani ,Pia kwa mtu ambaye atakuwa amejiunga na kampuni hii na ameweza kusajili watu watano chini yake,atajaza fomu maalumu ambayo itamuwezesha laini yake kusajili watu kwa kutumia laini ya kampuni ya simu ambayo Rifaro wanafanya nayo kazi,hivyo simu yako itakuwa ikisajili laini zingine ambapo utalipwa mapato ya asilimia 20 kwa mwezi ya watumiaji wa simu ambazo utakuwa umesajili wewe kwa kipindi cha miezi mitatu na asilimia 10 kwa miezi mitatu itakayofuata jumla utafaidika kwa miezi sita kwa watumiaji wa simu utakaokuwa umewasajili kupitia laini yako.


Jamani hii ni fursa tosha kwa mtanzania,asiyeona hili basi anahitaji jicho la Tatu!! ndugu Mtanzania mwenzangu wasiliana nami ili ufike ofisini ujionee mwenyewe kwa wale wa mikoani tuwasiliane kwa simu na uatapata maelezo yote ya jinsi ya kujiunga uko uliko.

Kampuni ya simu iliyoingia mkataba na kampuni hii ya Kitanzania kusambaza bidhaa zake kwa njia ya mtandao imeridhia kufanya hivyo ili itumie pesa nyingi zinazotumika kulipia matangazo kwenye mabango, television, radio, magazeti, mitandaoni, n.k. kuwapatia wana mtandao ambao ndio watakaoeneza biashara yao kwa njia ya kuwadhamini watu wanaotaka kuingia kwenye biashara hii ya mtandao.

Kwa nini hii sio fursa ya kuiacha ikupite?

Kwanza mtandao huu umejikita katika kutoa huduma ya mawasiliano ambayo kila mtu hapa Tanzania anahitaji kwa shughuli zake za biashara.

Pili, kampuni husika ya mawasiliano ina huduma ya kupiga simu kwa gharama nafuu hivyo utapunguza mno gharama zako za mawasiliano ukiwa mtumiaji wa huduma za kampuni hii ukilinganisha na kampuni nyingine za mawasiliano.

Tatu mtandao huu ni mpya tofauti na mitandao mingi mingine hivyo una fursa kubwa ya kupata watu wa kujiunga nayo kwani wengi bado hawajajiunga na hii fursa.

Nne mtandao huu ni kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa hapa nyumbani hivyo italipa kodi na kulipatia taifa mapato.

Tano ni vizuri kuwa na utamaduni wa kupigia debe ubunifu unaotokea nyumbani na kuunga mkono kuliko kushabikia vitu vya nje tu kwani kama msemo wa kiswahili usemavyo, zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Sita kampuni ya mawasiliano iliyoridhia kutumia njia ya mtandao ni kampuni kubwa hapa Tanzania yenye kufanya biashara ya uhakika. Kwa sababu hiyo, haitaruhusu kampuni ya kitapeli ifanye biashara yake kupitia huduma zake. 
Hivyo mtandao huu ni wa uhakika. Mara tu mtu akishajiunga chini yako basi utamuona palepale kwenye akaunti yako ya mtandaoni pamoja na mapato ulioingiza kupitia kwake.

Kilichofanyika hapa ni kwamba kampuni ya mawasiliano itaondoa gharama za matangazo kujitangaza ambazo ni kubwa mno hasa kwa makampuni ya mawasiliano kama tunavyoshuhudia mabango yao, kwenye magazeti, mitandaoni, n.k. 
Hivyo badala ya kampuni hii ya mawasiliano kumwaga pesa kwa ajili ya kujitangaza na kushindana kibiashara, hela hizo zinaingizwa katika mapato ya wana mtandao ambao wao wanasambaza biashara hii kwa njia ya mdomo kuwaambia ndugu na jamaa zao kuhusu fursa hii ya mtandao.

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU 0777 571 856

Chanzo: http://rifaroafricateam.blogspot.com